IKIWA NI MAADHIMISHO YA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI, WAUGUZI WAKUMBUSHWA KUZINGATIA MAADILI YA KITAALUMA
Na Barnabas Kisengi-Dodoma TUME ya Haki za Binadamu na Utawala bora nchini imeungana na Waguzi wote Nchini kuadhimisha siku hiyo Duniani huku ikitoa wito kwa wauguzi kuzingatia maadili ya kitaaluma pamoja na kuwajibika licha kuwa na changamoto mbalimbali zinazowakabili. Kauli hiyo imetolewa leo Jijini Dodoma na Kamishina wa Tume hiyo,Dk Fatma Rashid Khalafan Kwaniaba ya
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed